Nyuma ya Mapazia

£46,80

Description

Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea �Nyuma ya Mapazia�. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na kifani. Joram Kiango, Inspekta Kombora na kikosi kizima cha polisi wanagonga mwamba katika harakati zao za kutatua kizungumkuti hicho. Kutokweka kwa King Halfan King na maiti ya mpenziwe kupatikana ikielea ufukweni wa Bahari ya Hindi kunazidisha maswali mengi bila majibu. Hata hivyo, kizungumkuti hiki kitatatuliwa?

Additional information

Authors

Language

Publisher

ISBN

9789966565921

Number Of Pages

152

File Size

2.20 mb

Format

EPUB

Published

09-05-1984

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Nyuma ya Mapazia”

Your email address will not be published. Required fields are marked *