Diwani hi ina mashairi mseto yatakayomwezesha msomaji kujitanua bila ukinzani wa uguni na usiguni, usasa na umapokeo; hivyo azingatie fani, maudhui na muktadha. Dhana zilizodokezwa ni ukoloni mamboleo, usaliti, mila potofu, ukatili, unyanyasaji wa kijinsia, haki za mtoto, UKIMWI, rushwa, kiwi ya akili, uwajibikaji na nyinginezo.

Kifaurongo
£64,80
Authors | |
---|---|
Language | |
Publisher | |
ISBN | 9789987085101 |
File Size | 2.48 mb |
Format | |
Published | 10-11-2024 |
Reviews
There are no reviews yet.