Dimbwi la Damu

£46,80

Description

Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa. Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua…

Additional information

Authors
Language

Publisher

ISBN

9789966565914

Number Of Pages

104

File Size

2.25 mb

Format

EPUB

Edition

1

Published

10-01-2023

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Dimbwi la Damu”

Your email address will not be published. Required fields are marked *