Zawadi ya Ushindi

£46,80

Description

Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao. Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na kikosi chake. Maisha ya Sikamona yalibadilika kabisa baada ya vita hivi. Hata ingawa walifaulu kumkomesha Idd Amin, Sikamona alibaki na makovu mengi yaliyoiharibu sura yake asijione kastahili kuitwa binadamu tena. Ni yapi yatakayotokea watakapokutana na Rusia? Atapewa ëZawadi ya Ushindií?

Additional information

Authors
Language

Publisher

ISBN

9789966565938

Number Of Pages

90

File Size

2.21 mb

Format

EPUB

Edition

1

Published

10-01-2023

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Zawadi ya Ushindi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *